rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,197
- 20,174
Nimeangalia mechi zinazohusu timu yangu ya Simba, Simba walicheza na Ihefu Mbeya halafu wakaja kucheza na Mtibwa Moro baadae Dar es salaam Simba itaenda kucheza Sumbawanga na Prison baadae itaenda kucheza na Yanga Dar, Simba itaenda kucheza na Mbeya city Mbeya baada itaenda kucheza na Namungo Ruangwa Lindi.
Kwa udhamini uliopo timu kurudi mara tatu sehemu moja ni kuionea ilitakiwa Simba ikienda Mbeya imalizane na timu zote za ukanda huo yaani Mbeya na Sumbawanga hapa tunazungumzia timu yenye uwezo kifedha mbona Azam kacheza na Mbeya city halafu kaenda Sumbawanga kucheza na prison vipi zile timu ndogo zisizo na uwezo hii bodi ina maneno mengi kuliko vitendo
Kwa udhamini uliopo timu kurudi mara tatu sehemu moja ni kuionea ilitakiwa Simba ikienda Mbeya imalizane na timu zote za ukanda huo yaani Mbeya na Sumbawanga hapa tunazungumzia timu yenye uwezo kifedha mbona Azam kacheza na Mbeya city halafu kaenda Sumbawanga kucheza na prison vipi zile timu ndogo zisizo na uwezo hii bodi ina maneno mengi kuliko vitendo