Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Wiki iliyopita nilikuwa huko Masasi kwa shughuli za kikazi. Nilipita katika hospitali ya Ndanda, hali niliyoikuta ilinisikitisha. Kulikuwa na vijana kama sita waliokuwa wamekatwa miguu kutokana na ajali za pikipiki. Na wote ni wale waliomaliza form four mwaka jana na kufanya vibaya, unaweza kuimagine umri wao ni around miaka 14 na 16. Yaani watoto wadogo wanapoteza miguu, inasikitisha kwa kweli!