Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Kama mnavyowapa elimu hii kipindi cha uchaguzi kwa nguvu kubwa, basi mafanye hivyo pia kuwapa elimu ya usalama barabarani katika kufuata sheria.
Maana kila siku visa vya bodaboda kupata ajali vimekuwa vingi.
===================
Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wametakiwa kutunza na kuilinda amani iliyopo ili waweze kuendelea kufanya shughuli zao kwa uhuru, ufanisi na kwa manufaa yao na ya familia zao.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chake Chake, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Edward Emanuel Mutailuka, Oktoba 22, 2025, wakati wa utoaji wa elimu kwa madereva hao.
Mutailuka amesema kuwa, bodaboda ni kundi lenye ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwa liko karibu na wananchi, hivyo ni muhimu wakawa mabalozi wa amani na kamwe wasikubali kutumiwa au kutumika kwenye uhalifu.
Maana kila siku visa vya bodaboda kupata ajali vimekuwa vingi.
===================
Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wametakiwa kutunza na kuilinda amani iliyopo ili waweze kuendelea kufanya shughuli zao kwa uhuru, ufanisi na kwa manufaa yao na ya familia zao.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chake Chake, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Edward Emanuel Mutailuka, Oktoba 22, 2025, wakati wa utoaji wa elimu kwa madereva hao.
Mutailuka amesema kuwa, bodaboda ni kundi lenye ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwa liko karibu na wananchi, hivyo ni muhimu wakawa mabalozi wa amani na kamwe wasikubali kutumiwa au kutumika kwenye uhalifu.