Sasa wewe kama na wenyewe wapo humu si unampa mwenzio mambo yasio julikana ohoooKuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
TeaKuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
Muonye.Hana kifua.Atapotezwa.Kuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
povuNi ujinga kuweka akili na maisha yako kwenye mwili wa mwenzako . Kama ni wa kugongwa atagongwa tu. Fanya kazi mjinga mleta thread.
Wengi tuu wanaona wake zao hawana hizo mambo ila wa wenzao ndo wana hizo mambo. Jirani yako anaona mkeo ndo mwenye hizo mambo na wewe unaona mke wa jirani ndo mwenye hizo mambo.Hilo nalo nenooo! lakini mi wife Wangu hana hizo mambo
hahahahWengi tuu wanaona wake zao hawana hizo mambo ila wa wenzao ndo wana hizo mambo. Jirani yako anaona mkeo ndo mwenye hizo mambo na wewe unaona mke wa jirani ndo mwenye hizo mambo.
Point..!Boda boda wa dar ni wajinga sana kitendo chakumsimulia mtu kuwa umempeleka abiria sehem flani huo ni umama kwani kazi yake ni kumpeleka abiria anapo kwenda na si vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo mama alikuwa si mzima kichwani..Ushahidi: mm ni bodaboda, kuna mama mmoja mke wa mtu anapenda sana kunitumia kumpeleka sehemu za mishe yake.
Sasa huwa mumewe anasafiri safiri sana. Hivyo mama huniomba nimpeleke kwa mchepuko wake mida ya saa mbili usiku halafu nikamchukue SAA 4 usiku. Huwa hataki arudishwe na usafiri wa mchepuko.
Ikatokea na mm nimezoeana na binti yake pia, nikaanza kumla binti. Mama siku moja akanifunania ktk uchochoro na binti yake akaanza kunipiga biti.
Nami nikamtishia kuwa nitatoa siri. Akaufyata
Tukapatana na akaendelea kunitumia kumpeleka kwa mchepuko wake. Kuna Siu nikamkomalia kwamba sitaki hela nataka nyapu. Mama akawa hana namna akanipa nyapu. Nikawa nimefanikiwa kula mama na maana
Bodaboda ni bonge la kazi
Mkuu ulifaidi sana... Uliwapiga wote kavukavu?Ushahidi: mm ni bodaboda, kuna mama mmoja mke wa mtu anapenda sana kunitumia kumpeleka sehemu za mishe yake.
Sasa huwa mumewe anasafiri safiri sana. Hivyo mama huniomba nimpeleke kwa mchepuko wake mida ya saa mbili usiku halafu nikamchukue SAA 4 usiku. Huwa hataki arudishwe na usafiri wa mchepuko.
Ikatokea na mm nimezoeana na binti yake pia, nikaanza kumla binti. Mama siku moja akanifunania ktk uchochoro na binti yake akaanza kunipiga biti.
Nami nikamtishia kuwa nitatoa siri. Akaufyata
Tukapatana na akaendelea kunitumia kumpeleka kwa mchepuko wake. Kuna Siu nikamkomalia kwamba sitaki hela nataka nyapu. Mama akawa hana namna akanipa nyapu. Nikawa nimefanikiwa kula mama na maana
Bodaboda ni bonge la kazi
Kavu kavu mkuuMkuu ulifaidi sana... Uliwapiga wote kavukavu?
Hongera sanaaa Mkuu. Umewafaidi saaana. Hapo sasa utakuwa unaamua tu - ukamle Mama au Mtoto; kwa wakati wako....Kavu kavu mkuu
Sio boda boda wa Dar tu, ni boda wote nchini. Ukishamzoea na kuwa na viratiba vya kumuita Mara kwa Mara mnazoeana na unapata habari zote za mtaa/eneo husika. Wako vizuri kwenye kukusanya na kutafuta habari. Boda boda na wauza maduka haya ya mtaani sio watu poa! Anytime wanamwaga mchele tu ukishazoeana nao.Boda boda wa dar ni wajinga sana kitendo chakumsimulia mtu kuwa umempeleka abiria sehem flani huo ni umama kwani kazi yake ni kumpeleka abiria anapo kwenda na si vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme hana hayo mambo, sema bado hujagundua..Hilo nalo nenooo! lakini mi wife Wangu hana hizo mambo
Aisee.... We jamaa una hatari sanaKuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........