macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,213
- 56,829
Jiepushe kuiga malimbukeni kwa kuanza sentensi na neno ''kwahiyo''. Halafu mbaya zaidi hata kuandika neno lenyewe wengi hawajui.Kwaiyo wewe huna usamaria wema uongo? Uliona kupakia huo mzoga kwenye hicho ki rahum chako kwamba kingeisha mafuta au unakuja kueleza unoko hapa,hata picha hujaweka....
Ni kweli. Utadhani wanatengenezwa maabara au wamepachikwa ubongo uliotengenzwa China ukaletwa na hawa wanunuzi wanaokwenda kununua bidhaa za bei ndogo.Kesi za boda boda mi nishamuachia Lucifer aendelee kuwavuna manake hawanaga akili hao utadhani wametengenezwa maabara
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Leo ni Mapinduzi; wacha waisindikize siku wajinga wale! Kuzaliwa na mara moja tu; na kufa vivyo hivyo. Linda sana uhai wako kuliko chochote ulindacho.Aliingizwa uvungun au?
Leo basi Bodaboda wengi wamekufa
UMUGHAKA unaitwa utoe utetezi
Na simu Mkononi dahKuna style flan hv ya kukaa, wanakaa upande kama vile wana majipu makalioni
Hiv kwann wanatoa ile taa kubwa.. afu wanaweka kataaa kadogoo kenye mwanga ambao hauelewek..Mimi siku hizi nawaogopa,maana nimeshawagonga sana,naona wanachonitafutia sasa ni kesi tu.Sasa hivi wamefikia mahali wanatoa taa kubwa ile ya original mbele wanaweka kitaa kimoja kidogo kina mwanga hafifu,yaani hata haijulikani wanataka nini...
🤣🤣🤣Bodaboda anaamini honi ndio breki
Wewe mwenyewe hujui kwamba kamati ya waganga wanakupakua kila usikuJiepushe kuiga malimbukeni kwa kuanza sentensi na neno ''kwahiyo''. Halafu mbaya zaidi hata kuandika neno lenyewe wengi hawajui.
Na viatu wanavaa kimoja Kama kinataka kuanguka,unakuta amesuka na nywele halafu mchafu hasaKuna style flan hv ya kukaa, wanakaa upande kama vile wana majipu makalioni
Bagamoyo sehemu Gani mkuu?Ajali nyingine imetokea leo Bagamoyo.
Bodaboda kakata moto hapo hapo.
Ulitaka wagombanie kumbeba majeruhi? Maana umeshaambiwa kuna aliyembeba, tatizo ni kama bodaboda asingepata msaada ungeweza kusema hayo uliyoyasemaKwaiyo wewe huna usamaria wema uongo? Uliona kupakia huo mzoga kwenye hicho ki rahum chako kwamba kingeisha mafuta au unakuja kueleza unoko hapa,hata picha hujaweka....
Na kuwasha taaBodaboda anaamini honi ndio breki
Hawa watoto wengi wao bangi haziwapendi kabisa. Mtaa ninaoishi wanasumbua mpaka basi. Yaani muda wote ni kelele, na kupita kwa mwendo kasi!!Bila shaka gari ilikuwa inatokea Tanga Mjini na ilikunja kuelekea njia ya vumbi iendayo Kange Kasera na boda alikuwa ananyoosha kwenda Kange Stendi, Kituo Kikuu cha Mabasi, Tanga.
Hawa vijana wa bodaboda walishashindikana. Pikipiki mpya washaondoa side mirrors na kutoboa exhost ili ipige kelele.
Vijana wameshindikana nchi nzima hakuna wa kuwagusa.
Kwenye taa nyekundu wanapita, hawakai foleni.
Boda boda ni laana