Wanaita kona ya jeshini. Vijana wa boda wanaisha pale.Bila shaka gari ilikuwa inatokea Tanga Mjini na ilikunja kuelekea njia ya vumbi iendayo Kange Kasera na boda alikuwa ananyoosha kwenda Kange Stendi, Kituo Kikuu cha Mabasi, Tanga.
Hawa vijana wa bodaboda walishashindikana. Pikipiki mpya washaondoa side mirrors na kutoboa exhost ili ipige kelele.
Vijana wameshindikana nchi nzima hakuna wa kuwagusa.
Kwenye taa nyekundu wanapita, hawakai foleni.
Boda boda ni laana
Halafu ndala inakuwa kama inataka kuanguka hivi🤣🤣🤣🤣🤣Kuna style flan hv ya kukaa, wanakaa upande kama vile wana majipu makalioni
Leo leo tena asubuhi. Maeneo ya Jet karibu na vingunguti Dar es salaam. Boda boda imepata ajali na abiria alikuwa mdada amefariki
Aliingizwa uvungun au?Leo leo tena asubuhi. Maeneo ya Jet karibu na vingunguti Dar es salaam. Boda boda imepata ajali na abiria alikuwa mdada amefariki
Na pale gari hupita mbio sanaWanaita kona ya jeshini. Vijana wa boda wanaisha pale.
Piiii piiii piiii alafu spidi ni ile ile.Bodaboda anaamini honi ndio breki
Sanaaa... Pale ni pabaya mnooInna Lillah wainna ilaih rajioun, ila ile sehemu ya kuingia na kutoka Kange tahadhari muhimu sana
Wakati umefika wa kudhibiti idadi ya boda boda. Mitaa imefurika pamoja na fujoLeo kwa mara ya kwanza nimeshuhudia mtu anakata roho.
Ajali ya bodaboda na gari ndogo imetokea maeneo ya Kange kituoni mkoani Tanga majira ya saa tisa alasiri.
Bodaboda ame-overtake upande wa kushoto wakati gari ndogo ilikua inakunja kutoka barabara kuu kuelekea barabara ya vumbi huku dereva wa gari dogo akiwa amechukua tahadhari zote ikiwemo kuwasha indicator.
Bodaboda katoka na speed zote upande wa kushoto bila kujua kuna gari tayari inakunja kona mbele yake. Kijana akalivaa gari ubavuni upande wa mbele, akatupwa mbali na boda yake na kutua mzimamzima pembezoni mwa barabara.
Kwakua niilikua nyuma ya gari hilo dogo wakati ajali inatokea eneo, nilisogea mbele na kupaki pembeni kisha nikashuka kwenda kumtazama muhanga wa ajali ile. Damu zilikua zinamtoka kwa nyingi sana puani, mdomoni na masikioni.
Alikua katika mwendo wa kasi mno (takribani 80-100km/her) na mbaya zaidi hakua na helmet kichwani.
Shukrani zimuendee msamalia mwema mwenye gari zenye namba T*** EBN ambaye alijitolea kumkimbiza hospitali. Lakini kwa hali ilivyokua ni wazi kijana alikua amekwishakata roho.
Chondechonde vijana wa Bodaboda kuweni makini tafadhali.