Bodaboda mnawahi wapi?

Inna Lillah wainna ilaih rajioun, ila ile sehemu ya kuingia na kutoka Kange tahadhari muhimu sana
 
Wanaita kona ya jeshini. Vijana wa boda wanaisha pale.
 
Kuna mmoja kagonga mtoto juzi kwa speed za kipumbavu kwenye barabara ya vumbi ni mbovu lakini ana pita speed, tume piga makofi hadi akawa mwekundu nazani ali hadithia wenzake.

Na wana penda kupita njia za waenda kwa mguu wana acha lami. Hawa sha sema nki mfuma ana nipigia honi kwa nyuma ni makofi tu ..pale ubungo Riverside sha piga makofi mmoja ali nipigia honi kidogo moyo uchomoke
 
Leo leo tena asubuhi. Maeneo ya Jet karibu na vingunguti Dar es salaam. Boda boda imepata ajali na abiria alikuwa mdada amefariki

Hii nimeisikia, nasikia bodaboda tairi ya daladala imempita kichwani. Maskini mdada wa watu sijui alikuwa anatoka sokoni.
 
Leo leo tena asubuhi. Maeneo ya Jet karibu na vingunguti Dar es salaam. Boda boda imepata ajali na abiria alikuwa mdada amefariki
Aliingizwa uvungun au?

Leo basi Bodaboda wengi wamekufa
 
Juzi kuna wawili walikuwa wanafukuzana wakaanguka wakaumia , boss kapata taarifa kachukua mali yake.
Wana ujinga ujinga mwingi sana.
 
Mungu wa mbinguni namwomba aniepushie mm hii kazi na uzao wangu wote
 
Boda boda Wana shida kubwa...na shida yao ni ya malezi. Hawana uvumilivu/ustahmilivu.

Hawana mpango binafsi na mpango wa pamoja. Kila mtu kugombania ndiko kunakowafabya wawe na haraka zisizokuwa na maana. Bodaboda hana mpango maalumu, yaani hajui ili siku yake iwe successful anatakiwa abebe abiria wangapi ni kama tumbo lisiloshiba kila akiona chakula lazima ale.

Na shida ya tatu no inherent kwa watanzania wote na namna tulivyokuzwa kama umma wa taifa hili. Kwenye bongo zetu nyuma kabisa Kuna namna tunaamini uhai wetu ni expendable. Na hii inatokana na kuondolewa utu wetu wakati wa ukoloni nadhani.

Mtanzania kufa sio issue saaana..ndio maana ukitoka care ya routine inayoonekana ...kutoka kwa watu na viongozi... huwa hakuna genuine care Mtanzania anapokufa. Na sisi tunapelekana hivyo hivyo. Kufa in pursuit for money sio issue we kufa tuu ni kawaida. Ni kitu kibaya sana.

Tusizoee vifo. Ni mbaya sana..
 
Wakati umefika wa kudhibiti idadi ya boda boda. Mitaa imefurika pamoja na fujo
Hata moja kati yao havai helmet naa polisi wanaona kweupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…