Kwani hivi vikundi huwa vinalipwa kuja kumsifia Samia au ni kwa matakwa yao binafsi wamependezwa n utendaji kazi wake maana utasikia bodaboda wanamkubali mama, Mama ntilie wanamkubali mama mara Fundi ujenzi nao wanamkubali mama
Kwa hali hii naona ni watu wa Daslam ndo wanawaza kuandamana ila wenzetu huko Mkoani wanamkubali mama tena anawadai
----------
Umoja wa maafisa usafirishaji maarufu Bodaboda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wamesema kuwa kwa maboresho yaliyofanyika katika sekta hiyo ya usafirishaji wana deni la kumpa zawadi kubwa Dkt. Samia ya kumpigia kura za ndio kwa asilimia zote ili kufanya ashinde na aiongoze tena Tanzania kwa miaka mitano ijayo
Chanzo: ITV DIGITAL
Kwa hali hii naona ni watu wa Daslam ndo wanawaza kuandamana ila wenzetu huko Mkoani wanamkubali mama tena anawadai
----------
Umoja wa maafisa usafirishaji maarufu Bodaboda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wamesema kuwa kwa maboresho yaliyofanyika katika sekta hiyo ya usafirishaji wana deni la kumpa zawadi kubwa Dkt. Samia ya kumpigia kura za ndio kwa asilimia zote ili kufanya ashinde na aiongoze tena Tanzania kwa miaka mitano ijayo
Chanzo: ITV DIGITAL