Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wadau nawasabahi,
Nawashangaa sana wanaompinga Lema alivyosema kazi ya bodaboda ni laana. Ukweli lazima usemwe, kazi ya bodaboda ingekuwa ni kazi sahihi naamini CCM ingeweka katika ilani yake ili mwisho wa siku wakati wa uchaguzi waendesha bodaboda waipigie kura CCM.
Hebu jiulize kwanini CCM haijawahi kusema imeandaa ajira milioni 5 za bodaboda? Ni dhahiri hata CCM inajua sio ajira ndio maana inawacha vijana wahangaike wenyewe kutafuta pikipiki za kukodi au mikataba.
Bw. Lema aliposema ni kazi ya laana, ni kutokana na matukio wanayopitia waendesha bodaboda. Matukio kama ajali. Ujambazi kubeba wake za watu, uporaji na ulawiti kwa abiria watoto na wanafunzi. Vitendo hivyo ndio laana yenyewe aliyoisemea Bw. Lema.
Nawashangaa sana wanaompinga Lema alivyosema kazi ya bodaboda ni laana. Ukweli lazima usemwe, kazi ya bodaboda ingekuwa ni kazi sahihi naamini CCM ingeweka katika ilani yake ili mwisho wa siku wakati wa uchaguzi waendesha bodaboda waipigie kura CCM.
Hebu jiulize kwanini CCM haijawahi kusema imeandaa ajira milioni 5 za bodaboda? Ni dhahiri hata CCM inajua sio ajira ndio maana inawacha vijana wahangaike wenyewe kutafuta pikipiki za kukodi au mikataba.
Bw. Lema aliposema ni kazi ya laana, ni kutokana na matukio wanayopitia waendesha bodaboda. Matukio kama ajali. Ujambazi kubeba wake za watu, uporaji na ulawiti kwa abiria watoto na wanafunzi. Vitendo hivyo ndio laana yenyewe aliyoisemea Bw. Lema.