Ni kweli matenk ya mafuta yamelipuka na kuna malori yalikua kwenye foleni pale yard yameungua mengi tuu na watu wengi wamepoteza maisha hali sio nzuri kutokana na malori kugeuza na kukimbia ilikua ni vigumu kupata picha taharuki ilikua kubwa na milipuko ya matenk ya kuhifadhia mafuta