Boda Congo malori yamewaka moto

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,971
Gari zimewaka moto kama hamsini na watu wengi wamekufa, Ni Congo kilometa chache baada ya boda kuna sehemu inaitwa Wisk, kuna parking kubwa ya malori. Chanzo ni gari linalobeba mafuta(tanker) ya South Africa ilokua imebeba Petrol, iligonga tank lake kwenye trailer ya lory jingine, ndipo ukalipuka na moto kusambaa kwenye magari.


 
Kwa mliopo karibu na eneo hilo tupeni update zaidi

 
Mhh ni habari ya Mbaya sana kwa Matajiri...

Kwa upande wa wananchi ni kilio kikubwa kama kuna waliopoteza maisha.

 
Ni kweli matenk ya mafuta yamelipuka na kuna malori yalikua kwenye foleni pale yard yameungua mengi tuu na watu wengi wamepoteza maisha hali sio nzuri kutokana na malori kugeuza na kukimbia ilikua ni vigumu kupata picha taharuki ilikua kubwa na milipuko ya matenk ya kuhifadhia mafuta
 
Mwenye uwezo wa kupiga picha tafadhali
 

Congo Kubwa jamani ni Sehemu ipi ya Congo, maana Border zinazopita maroli mengi ni Goma na Ruzizi-East Congo , na Kasumbalesa-Katanga
 
Aisee hii ni mbaya sana ni hatari kubwa sana ee Mungu jaalia kupunguza athari za huu moto
 
Mbona hakuna Updates???

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
ni kweli kabisa hiyo ajali imetokea zaidi ya malori 90 yamewaka moto
 
Congo Kubwa jamani ni Sehemu ipi ya Congo, maana Border zinazopita maroli mengi ni Goma na Ruzizi-East Congo , na Kasumbalesa-Katanga

Ndugu,Wiski ipo Kasumbalesa Katanga
 
Hiyo ndiyo picha pekee waloweza kuipiga
 

Attachments

  • 1416916549912.jpg
    42.8 KB · Views: 4,313
Hii ni moja ya picha niliyotumiwa muda huu na dereva wa hilo gari linaloonekana hapo,ni la Tz na dereva ni mTz pia
 

Attachments

  • 1416917216666.jpg
    122.9 KB · Views: 930
Kuna mCongo kanitumia picha kwa fujo hapa,nimeona ni shee nanyi
 

Attachments

  • 1416917902980.jpg
    46.5 KB · Views: 856
Picha zinaendelea
 

Attachments

  • 1416917932790.jpg
    44.6 KB · Views: 763
Bado zinakuja
 

Attachments

  • 1416918045468.jpg
    51.6 KB · Views: 823

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…