Boda boda na vifo on the way

Boda boda na vifo on the way

Joined
Sep 2, 2013
Posts
10
Reaction score
2
Hv on the way hawa madereva wa car kuwafanya kitoweo % kubwa ya madereva wa car wakiwa kwenye magari wakiona boda*2 yupo pembeni yake ana mbana xo mnaonaje kama wanaonewa hv au wenzang mnaonaje
 
Hv on the way hawa madereva wa car kuwafanya kitoweo % kubwa ya madereva wa car wakiwa kwenye magari wakiona boda*2 yupo pembeni yake ana mbana xo mnaonaje kama wanaonewa hv au wenzang mnaonaje
huu uandishi mbaya sana hata nukta huweki!
 
Usiku wa kuamkia leoooo...., sijalala mwanangu eeeeh...., dunia hii ina mamboooooo, nimeona duble duble.....,eeeh anaona duble dubleeee...., anaona duble dubleeeee....,
 
Naamini ni uelewa wangu tu, nimekosea nisameheni wadau wangu, ila nilikuwa namaana;
Hao madereva wetu wa magari kuwafanya wenzao kitoweo barabarani. Je? ni haki kwa vifo vina vyotokea. Asilimia kubwa ya waendesha magari huwabana wa bodaboda pindi akaapo pembeni yake.
 
Naamini ni uelewa wangu tu, nimekosea nisameheni wadau wangu, ila nilikuwa namaana;
Hao madereva wetu wa magari kuwafanya wenzao kitoweo barabarani. Je? ni haki kwa vifo vina vyotokea. Asilimia kubwa ya waendesha magari huwabana wa bodaboda pindi akaapo pembeni yake.

Ngoja sasa tuanze kuchangia, huku mie niliko kiukweli bodaboda ndio wenye matatizo japokuwa kwa harakaharaka unaweza kusema wenye magari ndio wenye matatizo, kiukweli gari linapokuwa mbele yako unatakiwa uangalie mwenendo wake na kama ukitaka kumpita unatakiwa uombe ikiwezekana hata kuwasha taa na horn kidogo, na ukiona kabanwa bodaboda asilimia kubwa inakuwa upande wa kushoto maana bodaboda wote utasema mwalimu wao mmoja maana gari la mbele likikwepa kitu mbele kwa ku-move kulia bodaboda bila kutafakari anapita (kiufupi huwa hawana subira especially kwenye njia ambazo zinatumia zaidi busara kuliko sheria za usalama yaani zile njia mbovu unakuta gari zinapita upande huu na kuhamia upande mwingine kukwepa mashimo)
 
Hv on the way hawa madereva wa car kuwafanya kitoweo % kubwa ya madereva wa car wakiwa kwenye magari wakiona boda*2 yupo pembeni yake ana mbana xo mnaonaje kama wanaonewa hv au wenzang mnaonaje

Kajifunze kwanza kuandika halafu ndo uje utuulize swali, otherwise Facebook inakuhusu.
 
Naamini ni uelewa wangu tu, nimekosea nisameheni wadau wangu, ila nilikuwa namaana;
Hao madereva wetu wa magari kuwafanya wenzao kitoweo barabarani. Je? ni haki kwa vifo vina vyotokea. Asilimia kubwa ya waendesha magari huwabana wa bodaboda pindi akaapo pembeni yake.

Tukubali kwanza kwamba asilimia kubwa ya waendesha bodabod sio madereva (hawana leseni) na wengi hawajui sheria za barabarani zaidi ya kupenda haraka. Wanahitaji kujifunza sheria na matumizi sahihi ya barabara na ndo itakuwa salama yao.
 
Jamani hapa mada ni strong kwa uandish strong tu.vijana msiandike kihuni huni.mnatupa shida
 
Naamini ni uelewa wangu tu, nimekosea nisameheni wadau wangu, ila nilikuwa namaana;
Hao madereva wetu wa magari kuwafanya wenzao kitoweo barabarani. Je? ni haki kwa vifo vina vyotokea. Asilimia kubwa ya waendesha magari huwabana wa bodaboda pindi akaapo pembeni yake.
boda boda haiwezi kushindana na gari hakika, kwa hiyo ni busara kwa boda boda kufuata sheria za barabarani kwa kadri awezavyo ili mwenye gari awe m.------- kwa kiasi kikubwa kusababisha ajali.
 
Naamini ni uelewa wangu tu, nimekosea nisameheni wadau wangu, ila nilikuwa namaana;
Hao madereva wetu wa magari kuwafanya wenzao kitoweo barabarani. Je? ni haki kwa vifo vina vyotokea. Asilimia kubwa ya waendesha magari huwabana wa bodaboda pindi akaapo pembeni yake.

Nimependa ustaarabu wako wa kuelewa makosa yako.

Bodaboda ndiyo chanzo cha matatizo hayo kwasababu wengi wao ni wahuni.
 
Back
Top Bottom