babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 16,314
- 20,906
Nimekwambia hakuna upinzani ndo mana M7 anamsogeza mwanae akiachia?,Kwahiyo Uganda president awe Bobbi Wine?Wewe ni mtu umeenda shule kabisa babako akalipa ada kabisa n akajiridhisha pesa yake haikupotea kabisa. Yani m7 ampe mwanae kuongoza nchi? Uganda hakuna wengine zaidi ya mwanae. Mtu kakaa madarakani toka 1986 leo amwachie mwanae nae apige mpaka 2090 huko au [emoji23][emoji23][emoji23]
Mawili either Rudi shule au kadai ada yako. ni akili za punguani tu anayeweza kufikiria hili.
We naye cjui umekariri wapi!! Who is Muhoozi btw? Kafika pale sababu ya kubebwa na babake but he's overrated. Nipe successful mission yake hta moja zaidi ya kutumika tu kuua powerful generals waliotishia himaya ya M7.Nilishauri Bobi wine akagombee urais chama cha wasanii Uganda sio urais Uganda .
km ni urais then mseven ampe kamanda Muhoozi tu kijana wake maana upinzani hawako serious.
Nchi km ile umpe Bobbi wine wakati watu wameisotea battle to battle mpk kuikomboa Big NO.
Siku 2 nyingi jamaa watapindua kila kitu waanze upya.
Museven kumrudisha Muhoozi kuwa MCS pale.
Sio uamuzi wa kijinga,
Muhoozi na Kagame wameenda chuo kimoja US.
Anajua kila kitu anaweza fanya kila kitu
Ukisema hakuna wapinzani unamaanisha nn labda? Kwahiyo Uganda hakuna mtu zaidi ya mwanae. kusoma na Kagame maana yakr nn? Acha ujinga wewe. Nchi sio ya mtu mmoja. Kama alikuwa analijua hilo kwanini alikuwa anakandamiza upinzani.Nimekwambia hakuna upinzani ndo mana M7 anamsogeza mwanae akiachia?,Kwahiyo Uganda president awe Bobbi Wine?
Kuwa na akili M7 kumrudisha huyo dogo Hiyo nafasi ana lake jambo. Alishashika hiyo nafasi before,akapewa uwaziri akarudishwa CDF yupo Besigye Kiiza, naye fala tu, huyu Bobbi ni mvuta bangi tu aliyestaafu,then unategemea wamtoe M7 revolutionary hero wa Uganda unaota.
We fala sipotezi muda kubishana hapaUkisema hakuna wapinzani unamaanisha nn labda? Kwahiyo Uganda hakuna mtu zaidi ya mwanae. kusoma na Kagame maana yakr nn? Acha ujinga wewe. Nchi sio ya mtu mmoja. Kama alikuwa analijua hilo kwanini alikuwa anakandamiza upinzani.
Wewe unataka kulazimisha jambo ambalo haliwezekani [emoji23][emoji23][emoji23]. Siku nyingine ficha ujinga wako.We fala sipotezi muda kubishana hapa
Una elimu gani wee mataga mtu familia imekoswa koswa bomu afu utaki achukue tahadhari akiwa raisi si atakua ikulu ana ulinzi so familia itakuja,,Yaani unataka uwe rais wakati familia yako iko ng'ambo? Watakuwa wendawazimu watakao kupa nafasi hiyo!
Tunazo tunaficha dariniBora shule zifunguliwe urudi shuleni maana Waziri alisema marufuku watoto wa shule kuwa na simu shuleni. Nasikia mnafungua kesho ee?
Angebaki sasaAlikuwa na passport iliyokwisha muda wake. Maafisa wa Wizara ya mambo ya nje ndio wenyewe wamepeleka nyaraka hizo ubalozi wa Ujerumani.
Hii inaonyesha jinsi Lissu alivyo smart kuliko wabaya wake wajinga wanaotumia nguvu kuliko akili.
Kwani hana sifa za kuwa Rais!!!???Ni makamanda pekee ndo wanaweza kushabikia ujinga wa aina hiyo
Kwa maelezo haya huwa nashangaa nikisikia mpinzani wa bongo anasema ananyanyaswaUsidhani bobi wine yuko pale bila sababu maalum. Waganda wamemchoka m7 big time na wengine wamepambana sana kumtoa kupitia box la kura mpaka wamechoka wenyewe. Mmojwapo ni Besigye. Jamaa amepambana sana, ameteswa sana, kaenda jela sana, kapigwa sana, hata kutembea kwenda kazini kwake (katika biashara zake esp zile petrol stations zake kampala) ilikuwa shida hata kwenda kanisani hatakiwi hata kwenda Maana raia wamemchoka m7 wakimuona tu hata kama anajipitia tu njia ktk gari yake cz inajulikana.polisi wamefika wanamzingua. alikosa uhuru wa kufanya hata yake ya kijamii mpaka kaamua kachoka kabisa kaacha siasa.
Pia siasa za uganda kabila kubwa ni wabaganda kutoka central ndo wengi so ni makabila yanapambana wanyankole kutoka western (kabila la m7) wamejaa ktk serikali, jeshi nk bobi wine hayuko pale kama mwehu wengi wamepambana wamechomoa njiani bila kupenda. yeye kajivika mabomu sasa ulitaka familia yake iteketee ili ufurahi au? Kumbuja juzi juzi tu alikoswa koswa na bomu/risasi ambayo ilijeruhi walinzi wake akawa anavaa bullet proof jacket hadi ktk kampeni. majuzi tena mlinzi wake frank kauawa live.kabisa achia mbali wamefungwa wako detained wengine kibao lina Nubian Li etc
kwa taarifa yako bobi yuko nyuma ya watu wengi mpaka ndani ya buganda kingdom yeye kajivika mabomu tu ila kikiwaka kitawaka sana. Anaweza asiwe mtu sahihi sana lakini n mtu hata ukimsikiliza anajua.anachokiongea. na trust me support ataipata kubwa tu toka central. M7 anategemea police n jeshi tu otherwise angekuwa amesharudi kwao huko kuchunga ng'ombe akaachana na ikulu ya nakasero
Jf bwana unaweza kuona kakijana ka miaka 24 kanakuita mtotoKwa akili ya kitoto huwezi tambua maana ya maneno yale
Sio hapa tu, popote duniani iko hivyo ukileta ujuaji unajistaafisha mapema dunuani
Hiyo ni kote tu
..baada ya matokeo ya uchafuzi kutangazwa nilijua Tundu Lissu atafungwa na ndio utakuwa mwisho wake.
..kumbe mwenzetu ana jambo lake alilolifikiria jinsi ya kuepuka kifungo. sidhani kama ndani ya ccm na serikali kuna aliyetegemea Lissu atasalimisha maisha yake ubalozi wa Ujerumani.
..kuepuka mgogoro na aibu ya kidiplomasia serikali ilimtengenezea passport Tundu Lissu na kumuachia aondoke nchini. sijui kesi zaidi ya 6 dhidi ya Tundu Lissu mahakama ya kisutu zimeishia wapi?
Kwamba ni lazima nifike ili nifahamu kinachoendelea huko?duniani wapi huko ulipowahi kufika ? jamaa ivi upo mkoa gani hapa tz au haupo tz ?
Africa haioneshi wajinga kama nyie kupunguaNi kweli sikatai Rais Museveni anaweza kuwa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila na huyu Mpinzani wake Bobi Wine anatumika vibaya na Wahuni.
Acha utumwa kujidharau
Upumbavu wako uliokukomaa uliumaliza lini labda?
Bomu la mkono lirushwe chumbani afu mtoto abaki salama why nyumba haikubomoka. Sometimes mtumie akili hata kidogo basi