exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Habari wazee wenzangu hapa JF...
Hilo Bango Hapo Juu sio maneno yangu bali ni maneno ya mkali anaetamba na nyimbo mpya (ILOVE YOU) Bob Junior
Akizungumza usiku wa kuamkia leo katika mahojiano na kipindi cha Lavidavi na Divathebowse, ameweka wazi Kua Na mke Mzuri Kumzidi Wema Sepetu,
Akaongezea Kua Hakuna Mwanamke mzuri bongo movie anaemfikia mkewake kwa uzuri. Kuhusu Mafanikio Amesema Anautajiri Wa Kufikia Bilioni 5 Ananyumba 7 Mjini dar ni Mfanya Biashara Mkubwa Anavaa Vitu Vya Milioni 5
Hilo Bango Hapo Juu sio maneno yangu bali ni maneno ya mkali anaetamba na nyimbo mpya (ILOVE YOU) Bob Junior
Akizungumza usiku wa kuamkia leo katika mahojiano na kipindi cha Lavidavi na Divathebowse, ameweka wazi Kua Na mke Mzuri Kumzidi Wema Sepetu,
Akaongezea Kua Hakuna Mwanamke mzuri bongo movie anaemfikia mkewake kwa uzuri. Kuhusu Mafanikio Amesema Anautajiri Wa Kufikia Bilioni 5 Ananyumba 7 Mjini dar ni Mfanya Biashara Mkubwa Anavaa Vitu Vya Milioni 5