DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
TAARIFA Kwa Mujibu wa @jr_farhanjr ni kuwa Yanga Africa wamevunja Mkataba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashabiki na Wanachama CPA Haji Mfikirwa.. Sababu zinatajwa kuwa ni Kusua sua Kwa zoezi la Usajili wa Wanachama Wapya.
Haji Mfikirwa alianza Kazi Kama katibu Mkuu wa Yanga Africa.Kabla ya Baadae Kuwa Mkurugenzi wa Fedha na Kumaliza utumishi wake Kama Mkurugenzi wa Mashabiki na Wanachama.
Note; Hii Kupakua Supu imekuja tu by the way....Sijui Ilikuwaje
Source:Mzee wa Jambia
View attachment 2855738
Haji Mfikirwa alianza Kazi Kama katibu Mkuu wa Yanga Africa.Kabla ya Baadae Kuwa Mkurugenzi wa Fedha na Kumaliza utumishi wake Kama Mkurugenzi wa Mashabiki na Wanachama.
Note; Hii Kupakua Supu imekuja tu by the way....Sijui Ilikuwaje
Source:Mzee wa Jambia
View attachment 2855738