Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,966
- 30,132
LHD si nzuri kuendesha kwenye ambazo unaendeshea kushoto. Ni ngumu na hatari kupita gari lililoko mbele yako. Kwa Marekani kwa mfano kuna baadhi ya majimbo ni kosa kuendesha RHD kwa kuwa wao wanaendeshea upande wa kulia.
Sure,
Kwa bongo ukitaka ku-overtake Mpaka uitoe gari yote, huwezi kuchungulia kidogo ukarudi. Sasa kama Kuna ingine inakuja upande wako wa kulia na umeshaitoa gari yote ni hatari.
Labda uwe unaacha gap kubwa mbele yako ili uweze kuona mbele yako. Lakini nayo kama mmebanana kwenye foleni gap litatoka wapi?