Kuweka kifaa kipya, drivers za kulazimisha, wadudu au kuna kifaa hakija kaa sawa..lkn usiongope unaweza ku-restoreNaomba kuuliza-hivi ni kwa nini pc inapata tatizo la blue screen na kuji-shut down mara moja-
imenitokea kwenye pc yangu hapa-
not only this,Dalili za HDD kufa..hamisha data mapema
shukran mkuunot only this,
inaweza ikawa ram problem,pia yaweza ikawa software conflict,so dont be afraid,kama vipi try to do system restore the last tarehe ambayo pc yako ilikuwa haitoi blue screen and see the resultss..
All the best
shukran mkuu