Tunataka kujua wewe nani? Sisi Watanzania tumesharidhika labda wewe na ukoo wenu ndiyo mnataka kujua ushenzi!
Hivi ndio vichwa ambavyo watawala wa third world wana deal navyo, very easy to sway and bamboozle. Tunauliza detail za mikataba wengine wanasema hatutaki kujua huo ushenzi, hivi nchi ina watu vichwa panzi namna hii?