Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Doctor wa kike alimtoboa Jamaa kidole ili apate sample ya damu kwa ajili ya vipimo.Doctor alisubiri damu itoke lakini haikutoka.Yule doctor akaamua kumnyonya kidole mshikaji na hatimae damu ikatoka.Baada ya kupewa majibu ya vipimo vya damu,yule mshikaji akaomba kupima mkojo huku akidai mkojo wake uko mbali hivyo hauwezi kutoka kirahisi.