Belight Technology
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 582
- 122
Sasa imeshakuwa kawaida kuona Blogs mbalimbali za hapa kwetu, Vichwa vyao vya Habari ni vya kuonekana wamefichua SIRI kwa kutafuta picha za uchi za watu na kuweka kwenye blogs zao ili kuongeza "Online Traffic" Sidhani kama inatusaidia sana na wakati tunazidi kudidimiza baadhi ya tamaduni zetu.
Mamlaka ya mawasiliano ipo, Wizara ya Habari ipo, na kila kukicha ndizo habari zao utasikia Picha za Fulani za Uchi hizi hapa... Ni nani aliyekutuma ukaonyeshe uchi wa watu hadharani? Habari za maana ziko nyingi ila nasikitishwa sana na hii kitu yani. Na kwa habari za maana mtu anamiliki blog kazi yake ni KuCopy toka vyombo vingine vya Habari na kuPaste kwake bila kufanya uchunguzi wowote au kupata taarifa kamili ilimradi kaona kwa mwandishi fulani. Ziko nyingi mpaka kero.
TUNALIPELEKA WAPI TAIFA HILI?
Hebu tujiulize.
1. Nini sababu ya wewe kumiliki blog? Je ina manufaa kwako na kwa Uma?
2. Blog yako imelenga nini? Habari, Matangazo, Biashara, au Utamaduni, Elimu au nin?
3. Vyanzo vyako vya Habari ni wapi?
4. Elimu ya yule anaepost Habari kwenye Blog ni ya kiwango gani? Anatambua Lugha ya kutumia kwa Umma?
5. Kitu gani cha kitofauti ambacho umekibuni katika blog yako ambacho kwingine hakuna?
6. Je unafuata vigezo na masharti ya habari ikiwemo sheria na taratibu zake?
Mamlaka ya mawasiliano ipo, Wizara ya Habari ipo, na kila kukicha ndizo habari zao utasikia Picha za Fulani za Uchi hizi hapa... Ni nani aliyekutuma ukaonyeshe uchi wa watu hadharani? Habari za maana ziko nyingi ila nasikitishwa sana na hii kitu yani. Na kwa habari za maana mtu anamiliki blog kazi yake ni KuCopy toka vyombo vingine vya Habari na kuPaste kwake bila kufanya uchunguzi wowote au kupata taarifa kamili ilimradi kaona kwa mwandishi fulani. Ziko nyingi mpaka kero.
TUNALIPELEKA WAPI TAIFA HILI?
Hebu tujiulize.
1. Nini sababu ya wewe kumiliki blog? Je ina manufaa kwako na kwa Uma?
2. Blog yako imelenga nini? Habari, Matangazo, Biashara, au Utamaduni, Elimu au nin?
3. Vyanzo vyako vya Habari ni wapi?
4. Elimu ya yule anaepost Habari kwenye Blog ni ya kiwango gani? Anatambua Lugha ya kutumia kwa Umma?
5. Kitu gani cha kitofauti ambacho umekibuni katika blog yako ambacho kwingine hakuna?
6. Je unafuata vigezo na masharti ya habari ikiwemo sheria na taratibu zake?