Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kwa nini umesema blog haifai naomba neno kidogo hapokama upo serious chukua domain ya .com kabisa unaweza ipata kwa elfu 10 kwa mwaka ukitumia coupons za go daddy, cha pili chukua plan wa deluxe wordpress (tumia coupons ukihitaji bei rahisi ) ,,,,blogspot kwa ushauri wangu haikufai kama wewe ni serious blogger....Ni ushauri tu kwa maono yangu.
tuma vocha ya airtell inbox kwanza nikupe chap mara moja kiroho safi.mambo vipi mkuu..?? nimeipenda template yako, nawezaje kuipata??
1. Hizo picha za matangazo ya tigo, smart na tanesco ondoa mana hazikulipi, Wenzio wakiweka wanalipwa na pia yana re-direct kwenye links husika.mkuu kwa nini umesema blog haifai naomba neno kidogo hapo
haya mi nakutumia njo inbox maana nikijarib kukufungua inbox ina kataaYaaah ila kama unaniamini ntumie tuu link yake I promise to pay you, uaminifu ni mtaji kaka
Bro, nilijaribu kuweka templates ya WordPress katika blogu yangu but ina fail coz nashindwa kupata a single XML file ambalo linakuwa na codes zote sehemu moja kama baadhi ya templates za blogger
Oya naipata je coupons za go dadykama upo serious chukua domain ya .com kabisa unaweza ipata kwa elfu 10 kwa mwaka ukitumia coupons za go daddy, cha pili chukua plan wa deluxe wordpress (tumia coupons ukihitaji bei rahisi ) ,,,,blogspot kwa ushauri wangu haikufai kama wewe ni serious blogger....Ni ushauri tu kwa maono yangu.
Oya naipata je coupons za go dady
Je kuna namba ingine ya kuwalipa bila kupitia benk!??
Plz naomba maelezo nataka nunua domain name toka kwako kwa ajili ya blog yangu!
siwezi nikaitoa koz sijainunuaremove copyright link
hapana naweza pia mimi mwenyewenatoa kwa buku saba
nimedizaini mwenyew mkuuhiyo template umedesign mwenyewe au copy and paste?. sasa ipe jina hiyo template kisha ingia themeforest nenda kaiuze utapata pesa mingi. afu nashangaa kwanini template designers wakibongo hawaweki templates zao themeforest au wanaishie Fiverr
Machozi ya simba baomba kuuliza1. Hizo picha za matangazo ya tigo, smart na tanesco ondoa mana hazikulipi, Wenzio wakiweka wanalipwa na pia yana re-direct kwenye links husika.
2. usichanganye content za kiswahili na kiingereza,,,kuwa na msimamo.
3. Unachanganya sana posts ..mara uweke za michezo mara za andoid...chagua kimoja.
4. Tumia domain ya .com
5.Tumia wordpress ili upate themes kali kama sahifa na addons kali kama yoast seo ambayo inasaidia kuongeza organic traffic kwa urahisi
6.monetize blog yako kwa kuweka matangazo ya adsense(kama unayo) au propeller ads au kampuni nyingine utayoipenda
.blogspot.com inakua huna hatimiliki nayo,akitokea mtu akasajili kwa jina la blog yko kwa .com au .co.tz ye ndo anakua mmiliki halali wa jina.so itakulazimu wewe km unatak usajil utafute jina jingine.hapa shida inakuja kweny branding coz utakua km unaanza upya....umenielewa?Machozi ya simba baomba kuuliza
Je kama site yako haina .com kuna shida gan labda???
Hapana wewe ume modify template. Template belong tonimedizaini mwenyew mkuu
hiyo template umedesign mwenyewe au copy and paste?. sasa ipe jina hiyo template kisha ingia themeforest nenda kaiuze utapata pesa mingi. afu nashangaa kwanini template designers wakibongo hawaweki templates zao themeforest au wanaishie Fiverr