Blog yangu KALUNDE INFORMATION CENTRE. inasumbua sana, kwanza haipost video. Ukipost video basi inaleta image tu ya mwanzo ya video husika.
Pili, nashindwa ku-signup kwenye Earnings kuruhusu Google Adsense ilihal kuna mtu alisema siku hizi sio lazima Blog itimize miezi 6 ikiwa "active".
Msaada wana JF.