Blank cheque imeokotwa dar es salaam

Blank cheque imeokotwa dar es salaam

Si unafanya na maandalizi kabisa ya kukaa rumande na baadaye mahakamani halafu jela pindi hilo dili likibuma, kinyume chake umeula mwanangu maana utajaza kiasi unachotaka.
 
Utakuta ni mtu kaibiwa beji na hawa vibaka sugu wa mujini theni wanatupa documents. Pole sana aliyepoteza na hongera kwa tangazo hapa.
 
mkuu mimi huwa siibi, ila nawachukia sana wezi na kuwaripoti mamlaka husika, kama vp tushirikiane katika kuhabarishana ni mbinu gani wanatumia mkuu tuwaripoti majizi yote yakamatwe...

mbona hauwaripoti MACCM?
 
so long as its BLANK no problem...huwezi chukua nayo mkwanja bila kushirikiana na TELLER wa bank

si lazima, kuna blank checks zinazokuwa zimesainiwa lakina hazina payee wala amount, hilo ni tatizo...
 
madogo mtabeba misala isiyo yenu pengine mwenye nayo kaishairipoti kwamba imepotea mtafungwa pasipo kujua take care
 
Back
Top Bottom