Mwee! kumbe kuna "blank cheque" na "bank cheque", ushamba bana!
Unaonaje nikifanya hivyo.so long as its BLANK no problem...huwezi chukua nayo mkwanja bila kushirikiana na TELLER wa bank
Ndio maana tunasema mateller wanahusika sana kwenye hii mamboso long as its BLANK no problem...huwezi chukua nayo mkwanja bila kushirikiana na TELLER wa bank
Mwee! kumbe kuna "blank cheque" na "bank cheque", ushamba bana!
mkuu blank check,maana yake haijajazwaMwee! kumbe kuna "blank cheque" na "bank cheque", ushamba bana!
check=cheque :A S 39:mkuu blank check,maana yake haijajazwa
Haya mtafute huyo teller sasa kama huipendi future yako....mkidanganyana mitaani mnajua ni rahisi rahisi tu,Ndio maana tunasema mateller wanahusika sana kwenye hii mambo
Yaani wewe unajua teller ndio kila kitu eh.... Gusa sasa unaseso long as its BLANK no problem...huwezi chukua nayo mkwanja bila kushirikiana na TELLER wa bank
zote ni sahihi mkuucheck=cheque :A S 39:
mkuu mimi huwa siibi, ila nawachukia sana wezi na kuwaripoti mamlaka husika, kama vp tushirikiane katika kuhabarishana ni mbinu gani wanatumia mkuu tuwaripoti majizi yote yakamatwe...Haya mtafute huyo teller sasa kama huipendi future yako....mkidanganyana mitaani mnajua ni rahisi rahisi tu,
Mkuu hiyo blank cheque peleka bank husika watawasiliana na mteja wao, wanaosema mtafute Teller mtoe mpunga wanakutafutia matatizo na hawaelewi lolote wapotezee
check=cheque :A S 39:
Yah mkuu unaweza kuidestory tu kwa usalama zaidi maana mwenye cheque asipoiona atatoa taarifa bank wafanye stop payment ya hiyo cheque leaf. Tena ukiichana chana ndio njema zaidi utakua umewaokoa na hao wenye akili kwamba wamtafute bank teller wale chapaa kumbe wananunua msala bure...big up sanaSawa Mkuu. Kama hakuna effect yeyote kwa mwenye nayo bora niipotezee tu. Maana si mjuzi wa mambo haya ndio maana nikashtuka nilipoiona.
Hapo sana mkuu... Big up sanamkuu mimi huwa siibi, ila nawachukia sana wezi na kuwaripoti mamlaka husika, kama vp tushirikiane katika kuhabarishana ni mbinu gani wanatumia mkuu tuwaripoti majizi yote yakamatwe...