BBM na Facebook ni vitu viwili tofauti.
BBM ni Instant messaging Platform/ App
While
Facebook ni Social networking platform/ App
Kuna concept muhimu sana watu huwa hawajui kuhusu hii mitandao. Sio kila mtandao unaokuwezesha kuwasiliana ni Social netiwork.
Mfano Whatsapp sio social network na haina sifa hizo kwa sababu ili uweze kiwasiliana na mtu lazima mfahamiane out kwanza ndio uwasiliane nae on whatsapp
While Facebook unaweza mtafuta hata Donard trump ambae huna hata namba yake na ukawasiliana nae.
Soo mitandao kama BBM, Messenger ni mitandao/ inayoitwa instant messaging app ambazo zinatoa huduma ya mawasiliano ya papo kwa papo.
In sight of mambo ya BB, Hao BBM ilikiwa ni lazima wafichwe tuu na facebook. Maana facebook ina sifa mbili. Ambazo ni Instant messaging ( Massenger) na facebook ya kawaida kwa ajili ya social networking
Issue ingine ni DATA PLAN. Ililazimu ili upate huduma nzuri za internet inahitaji huwa na bundle la blackberry kitu ambacho watu wengi walikuwa hawapendi
Furaha zaidi watu waliipata kwenye OS huru/ Opensource baada ya kuwa vitu vingi ambavyo kwenye BB havikuwepo. Ki ufupi jamaa walishindwa kujua dunia inataka nini.
Emaphakadeni