Nani anautundu wa hii simu??can I use internet without suscribing with BBm services?
nilivyosikia mimi ukiwa nayo hiyo blackberry bold 9700 na ndani yake kuwe na Skype na uwe na mwenzako anayo kama yako hiyo blackberry bold 9700 pamoja na Skype mnaweza kuchat pasipo kuwa na internet connection. kma kuna watu wengine wenye ujuzi watujuze zaidi mkuu naishia hapo.
Kuna mtu kaniambia uwe na skype kwenye hiyo Blackberry na pia mwenzako unaye chat nae pia awe nayo hiyo hiyo Skype kwenye blackberry yake ndiyo inaweza kukubali kutumika hiyo skype pasipo na internet connection. Je wewe unaye Mtu mwenye blackberry kama yako wewe ?Nijuavyo BB hazikubali SKYPE unless kuna ujanja unafanyika mimi siujuwi nnatumia BB miaka 3 sasa lakini sijapatapo kuona SKYPE ikikubali, kama kuna ujanja huo tujuze.
Kuna mtu kaniambia uwe na skype kwenye hiyo Blackberry na pia mwenzako unaye chat nae pia awe nayo hiyo hiyo Skype kwenye blackberry yake ndiyo inaweza kukubali kutumika hiyo skype pasipo na internet connection. Je wewe unaye Mtu mwenye blackberry kama yako wewe ?
FF, hebu tuambie vizuri bana, mimi najua haiwezekani kutumia browser ya BB ku-access internet kama haupo kwenye pay plan ya BBS. It is just impossible.Unaweza, unaingia tu kwenye browser na unatumia mtandao kama kawaida. Mimi nnayo na nnaitumia kwenye mtandao bila BB Service. kumbuka BBM ni kitu kingine na BBS ni kitu kingine, bbm ni ile messenger tu na hii ni lazima uwe na BBS ndio unaitumia bure, ukiitumia BBM bila BBS haikubali na inapokubali basi ujuwe inatuma sms badala yake ambayo inakula pesa kutokana na mtandao uliokuwa nao.
Natumai nimeeleweka.
FF, hebu tuambie vizuri bana, mimi najua haiwezekani kutumia browser ya BB ku-access internet kama haupo kwenye pay plan ya BBS. It is just impossible.
Lakini ukiweka browser nyingine say Opera, inawezekana ku-access internet kwa plan ya kawaida ya mobile internet kutokana na aina ya mtandao unaoutumia. Pamoja na kuweka browser nyingine, unaweza kutakiwa kufanya certain settings ili ikubali.
Kwa ambae anafahamu otherwise atujuze.