DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Doto Biteko ambaye pia ni mbunge wa Bukombe aliyemaliza muda wake na Naibu waziri mkuu, amesema hayo leo Agosti 3, 2025 kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa wagombea wa udiwani na ubunge katika kata za Bulega, Ushirombo na Bukombe zilizopo jimbo la Bukombe.