Biriani ya Samaki



Namna ya kutaarisha

1.Kaanga kitunguu maji hadi kiwe rangi ya kahawia

2.Weka kitunguu saumu na tangawizi

3.Weka tuna koroga vizuri

Dada @farkhina hiyo step #3 tuna ndio nini.?!
Nataka nimshawishi wifiyo apike hii kitu,ila sasa hiyo term ]tuna imenipiga chenga.
 
Last edited:
1.Samaki wa kipande 1/2 kg

2.Mchele 1/2 kg

3.Vitunguu maji 2

4.Carrot 1 kubwa ikwaruze

5.Mdalasini 1 teaspoon

6.Bizari ya pilau 1/2 tablespoon

7.Nyanya ya kopo
farkhina, hili darsa lazima weekend hii nilifanyie kazi manake huyu Swahibu angu wa Kipemba huku mtaani keshanishinda. Yaani Uswahilini Biriani unauza elfu 7; aaaargh-- sema dah, ana vitu flani hivi amazing!
 
Afadhali hii viungo sio lukuki.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…