Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Haya mambo akina Grace watayashangilia wakati huu lakini ipo siku ukweli utajulikana...
Kipindi hiki kuna miradi mingi mikubwa ya mabilioni ya shilingi inayotekelezwa kwa kauli tu za mtu mmoja na mimi nahofia hizo fedha zinazotolewa kutumika kwenye hiyo miradi ndo hizo hizo zinatumika kununua kwa bei yoyote viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani. This is nothing short of money laundering...ipo siku mtajibu dadeki zenu - MAYANGA CONTRACTORS! IPO SIKU MTAJIBU!
Kipindi hiki kuna miradi mingi mikubwa ya mabilioni ya shilingi inayotekelezwa kwa kauli tu za mtu mmoja na mimi nahofia hizo fedha zinazotolewa kutumika kwenye hiyo miradi ndo hizo hizo zinatumika kununua kwa bei yoyote viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani. This is nothing short of money laundering...ipo siku mtajibu dadeki zenu - MAYANGA CONTRACTORS! IPO SIKU MTAJIBU!