biotechnology inalipa sana ila sio ya bongo maana awasomi deep zaidi hii inausika na maswala ya kutuimia vitu vilivyo hai kutengeneze useful product ikiwemo chanjo,dawa mfano kubadili virusi kuwa chanjo pia kubadili vyakula mfano kuku wa kisasa matunda ya kisasa na kuongeza virutubisho na kuzuia visishambuliwa na vijidudu pia kutibia magonjwa mfano ya virusi ukimwi,cancer, magonjwa ya kuzaliwa kwa kurepair defective gene pia kutibu cancer za damu yaan magonjwa yote yanayo husu mabadiliko ya vitu katika mwili pia hata ya bacteria pia kisukari kwa kufanya transplant ya islete of Langerhans cells pia kuhusu ajila zipo hata IHI wanahitaji hawa watu katika kazi zao including research