Biomedical engineers nao wafanye kazi gani sasa!!Kwa ninavyojua ni taaluma inayohusisha kudesign na uvumbuzi wa vifaa vitakavyotumika kufanyia vipimo kwenye mahospitali. Mfano kama ile mashine unayowekewa kidoleni au ile unayofungiwa kwenye mkono ukiipress inakaza.
Pia na ukarabati wa mashine hizo kama X ray machines na nyinginezo.
Nawsilisha.
Unazisoma processes mbalimbali za kibiology then unajukumu ya Kuzibadilisha proceses hizo ziwe na faida kiteknolojia aidha kutengenezea products mbalimbali au kuzimanipulate hizo processes ziwe na faida zaidi mfano kwenye genetics engineering yaWadu sorry mwenye Elimu kuhus Bachelor ya Biotechnology
Biomedical science ndio mwenye jukumu la kudesign vifaa vya tiba kidogo na mtu wa medical physicsKwa ninavyojua ni taaluma inayohusisha kudesign na uvumbuzi wa vifaa vitakavyotumika kufanyia vipimo kwenye mahospitali. Mfano kama ile mashine unayowekewa kidoleni au ile unayofungiwa kwenye mkono ukiipress inakaza.
Pia na ukarabati wa mashine hizo kama X ray machines na nyinginezo.
Nawsilisha.
Ooooh!!! Sawa mkuu ni kweli.Biomedical science ndio mwenye jukumu la kudesign vifaa vya tiba kidogo na mtu wa medical physics
Biomedical engineer ndio mwenye jukumu la kumaintain na kurepair
Yap samahani wakuu nilikosea.Biomedical engineers nao wafanye kazi gani sasa!!
Mkuu unaelewa tofauti ya scientist na engineer?Biomedical science ndio mwenye jukumu la kudesign vifaa vya tiba kidogo na mtu wa medical physics
Biomedical engineer ndio mwenye jukumu la kumaintain na kurepair
Nyongeza tu,biotechnology ni elimu ambayo inakusaidia kutumia viumb hai au sehemu za viumbe hai (wanyama au mimea) kutengeneza au kuboresha bishaa yoyote ile kwa manufaa ya binadamu ....kwa mfano kuchukua mbegu ya mhindi na kuimodify iwe na uwezo wa kuzaa sana, kwa muda mfupi na iwe na uwezo wa kuvumilia magonjwa na wadudu waharibifu.
Naskul san mkuubiotechnology ni elimu ambayo inakusaidia kutumia viumb hai au sehemu za viumbe hai (wanyama au mimea) kutengeneza au kuboresha bishaa yoyote ile kwa manufaa ya binadamu ....kwa mfano kuchukua mbegu ya mhindi na kuimodify iwe na uwezo wa kuzaa sana, kwa muda mfupi na iwe na uwezo wa kuvumilia magonjwa na wadudu waharibifu.
Unaweza kujiajiriMfano kufanya paternity test hiyo ndio biotechnology..
Ina wigo mpana,ila inadeal na molecular biology(mambo ya cells and genes),kufanya cross matching kupata hybrid na mambo mengine mengi
Kuhusu kujiajiri sina uelewa zaidi..labda watakuja wadau wanaojuaUnaweza kujiajiri
Maana sasa hivi ni fikra za kujiajiri kuajiriwa ni fikra mgandoKuhusu kujiajiri sina uelewa zaidi..labda watakuja wadau wanaojua
Biotechnology - WikipediaWadu sorry mwenye Elimu kuhus Bachelor ya Biotechnology