Sabode
Senior Member
- Apr 11, 2008
- 160
- 21
Salama wanaJF.
Nimepata HP Omnibook xe4400 Laptop kutoka kwa mshikaji inachapa kazi uzuri kama ninavyo taka. Ila tatizo lililopo haicharge battery, na hii inanifanya nifanyie vijishughuli vyangu pale tu palipo na power, yaani ofisini au nyumbani lkn nikiwa mahala pengine nakwama. Nimepeleka kwa fundi kaniambia bios imekufa na wao hawawezi kudoo jambo lolote kuiponya! Sasa kama mnavyo jua wenyewe JF pamekamilika hebu nisaidieni la kufanya maana bila kucharge battery hii inakuwa haina maana kamili ya laptop.
Msaaada plizzzzz.
Nimepata HP Omnibook xe4400 Laptop kutoka kwa mshikaji inachapa kazi uzuri kama ninavyo taka. Ila tatizo lililopo haicharge battery, na hii inanifanya nifanyie vijishughuli vyangu pale tu palipo na power, yaani ofisini au nyumbani lkn nikiwa mahala pengine nakwama. Nimepeleka kwa fundi kaniambia bios imekufa na wao hawawezi kudoo jambo lolote kuiponya! Sasa kama mnavyo jua wenyewe JF pamekamilika hebu nisaidieni la kufanya maana bila kucharge battery hii inakuwa haina maana kamili ya laptop.
Msaaada plizzzzz.