bakari saidi
Member
- Sep 12, 2016
- 26
- 4
Jaman kma kunafulsa ya biomedical engineering tujulishaneee wadau tuko tayar kuwajibika popte mawasiliano 0625979681
UMESOMEA CHUO GANIJaman kma kunafulsa ya biomedical engineering tujulishaneee wadau tuko tayar kuwajibika popte mawasiliano 0625979681
DITUMESOMEA CHUO GANI
hahahahaha hii kozi nayo kumbe nenge tuNyie si mlisema hii course wahitimu huwa wanatafutwa na kazi wao hawaitafuti ,kulikoni tena
Nenda nnje wewe hapa utakula vumbi tu.
Capital emptyJiajiri
Uza smartphone au hiyo laptopCapital empty
OkUza smartphone au hiyo laptop
Utapata mtaji wa kuanzia usisubir mikopo
Yap n mpyaSubir TFDA wakitangaza ajira may be mtapata, hiyo kama sikosei ni coz mpya hapa Tz kaz zenu nyingi zinasimamiwa na pharmasist kisheria nadhan labda sheria zikirekebishwa na kuwepo kwa clear job description mnaweza pewa hilo jukumu..just thinking
Kwa sabab usimamiz na ukaguz wa medical devices upo chin ya pharmasist..binafs sidhan kama they r right xparts