Nipigie
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 121
- 7
Jamani kama unahitaji mke siyo gf, naomba nipm
binti yangu ameniomba nimtafutie, siyo ameshindwa ila ni utaratibu tulio kubaliana naye
uwe mrefu
mcheshi
unaye penda suti
gari lolote jipya dogo
uwe na pesa za kawaida, nyingi si kikwazo
binti yangu anaumri wa miaka 20
ana masters ya sheria (haki za binadamu).
binti yangu ameniomba nimtafutie, siyo ameshindwa ila ni utaratibu tulio kubaliana naye
uwe mrefu
mcheshi
unaye penda suti
gari lolote jipya dogo
uwe na pesa za kawaida, nyingi si kikwazo
binti yangu anaumri wa miaka 20
ana masters ya sheria (haki za binadamu).