yaan wewe damu ndio kielelezo cha bikira, vp kama uliichokonoa bleed iliyokuwa ianze nusu saa baadae? hata hivyo si ajabu akiwa nayo.
Kilichokushangaza kipi??? Basi mlete makumbusho ya taifa
Kilichokushangaza kipi??? Basi mlete makumbusho ya taifa
hahhahaah usinichekeshe miee,kaona ajaaabuuu kama maji kupanda mlima
umemsoma eeh.. yy ndo feki yan kumbe alikua anachezea bint ya watu af ateme...sasa hajiamini.. wapo watu wana bikra hata wa miaka 28si ajabu kabisa akiwa nayo watu wapo mbona wanazo sema huyu hajielewi anadhani kila kitu feki kama yeye alivo feki
kichwa,chako