Nejad Rocket
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 298
- 197
Wadau habari za wikiendi.
Katika pita pita zangu mwezi Wa sita nikakutana na bint wa Kiiraq mtandaoni wa Mto wa mbu tukaanza kuchati kama utani Jana nikafunga safari tukaonane.
Leo asubuhi tukakutana cha ajabu nimemkuta ana Vitz sehemu aloniambia tukutane.Baada ya stories nashangaa ananikabidhi funguo sikuamini nafikiri ananitania na akaniambia tuongozane kwenye Kituo cha Afya tukapime Afya tukaondoka majibu yapo fresh tupo wazima.
Ameniambia leo haendi kwao anataka tukeshe na amesema yupo kwenye siku za kushika pregnancy hivyo nijiachie Kwa Uhuru anataka mtoto.
Wadau mm sina hata baiskeli nyumbani Nina Mke na mtoto mmoja hatujafunga ndoa nipo njia panda
nishaurini.
Katika pita pita zangu mwezi Wa sita nikakutana na bint wa Kiiraq mtandaoni wa Mto wa mbu tukaanza kuchati kama utani Jana nikafunga safari tukaonane.
Leo asubuhi tukakutana cha ajabu nimemkuta ana Vitz sehemu aloniambia tukutane.Baada ya stories nashangaa ananikabidhi funguo sikuamini nafikiri ananitania na akaniambia tuongozane kwenye Kituo cha Afya tukapime Afya tukaondoka majibu yapo fresh tupo wazima.
Ameniambia leo haendi kwao anataka tukeshe na amesema yupo kwenye siku za kushika pregnancy hivyo nijiachie Kwa Uhuru anataka mtoto.
Wadau mm sina hata baiskeli nyumbani Nina Mke na mtoto mmoja hatujafunga ndoa nipo njia panda
nishaurini.