Wapendwa,
Mimi sio mhuni wala sijawahi kuwa mhuni.
Hivyo napenda kusema kuwa niko seriou na ninachosema. Nataka kuwa na urafiki tu na sio vinginevyo na binti wa chuo anayemalizia mwaka wa mwisho. tukipendana basi tutaoana baadaye.
nasisitiza simaanishi umalaya au ufuska.
Asante.
Mimi sio mhuni wala sijawahi kuwa mhuni.
Hivyo napenda kusema kuwa niko seriou na ninachosema. Nataka kuwa na urafiki tu na sio vinginevyo na binti wa chuo anayemalizia mwaka wa mwisho. tukipendana basi tutaoana baadaye.
nasisitiza simaanishi umalaya au ufuska.
Asante.