vioner
Member
- Mar 3, 2019
- 58
- 22
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu. Nina umri wa miaka 20 natafuta ajira nina elimu ya kidato cha NNE pia nimesomea basic computer.
Kazi yoyote ya halali iwe Usafi, kwenye Kampuni yeyote au hotelini au yeyote mwenye duka anahitaji mfanyakazi nipo tayari ni mwaminifu na mchapakazi, na najituma naongea lugha mbili yaani kiswahili na kingereza Kwa ufasaha kabisa msaada wenu jamani.
Namba zangu 0752370184. Life is too tough now days kwa walio serious jamani tafadhalini
Kazi yoyote ya halali iwe Usafi, kwenye Kampuni yeyote au hotelini au yeyote mwenye duka anahitaji mfanyakazi nipo tayari ni mwaminifu na mchapakazi, na najituma naongea lugha mbili yaani kiswahili na kingereza Kwa ufasaha kabisa msaada wenu jamani.
Namba zangu 0752370184. Life is too tough now days kwa walio serious jamani tafadhalini