Binti mlokole

Ravalomanana

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2018
Posts
1,633
Reaction score
1,608
Habari ,nina swali kwenu wapendwa waumini wa madhehebu ya kilokole,nimepata binti wa kilokole ninataka kumuoa na tuko kwenye mahusiano mwaka mmoja na nusu sasa na tumeshatambulishana nyumbani,lakini madai yake anasema mpaka Mungu amjibu kua mimi ni mtu sahihi kwake au laa na maombi amefanya sana,je huu ndio utaratibu uliopo kwenye madhehebu ya kilokole linapokuja swala la ndoa?
 
Achana nae mapema kabla hajaja na jibu kuwa Mungu hajakuchagua tukaanza kulia lia
 
Achana na huyo mlokole, huyo amekuweka kama akiba ili mipango yake ikifeli huko anapopategemea asikukose.
 
usikute unashare na kwaya master katika uzagamuzi wa mpendwa wenu.
 
Achana na huyo mlokole, huyo amekuweka kama akiba ili mipango yake ikifeli huko anapopategemea asikukose.
Kama bado hujaokoka, okoka sasa; kesho tu unachukua ngoma. Muone mchungaji wetu setfree humu Jf akupige sara ya toba. Utanishukuru baadae. Mchungaji kuna kondoo mpya wahi kabla simba hajapita nae.
cc setfree
 
Kama bado hujaokoka, okoka sasa; kesho tu unachukua ngoma. Muone mchungaji wetu setfree humu Jf akupige sara ya toba. Utanishukuru baafae. Mchungaji kuna kondoo mpya wahi kabla simba hajapita nae.
cc setfree
Siwezi kuokoka mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…