Binti mchawi adondoka makaburini

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
955
Wakazi wa maeneo ya mjimwema makaburini mkoani Ruvuma wilaya ya songea mjini,usiku wa kuamkia leo wamekutana na kioja baada ya kumkuta binti akiwa uchi makaburini.baada ya kumuhoji kulikoni anacheza juu ya makaburi akaeleza alikuwa yeye na wenzake wakisafiri kwa njia ya anga.bahati mbaya akatoa mkono kuchungulia nje.kilichotokea akawa ametua makaburini
 

Asije akawa Chizi......akapewa kesi ya Uchawi na kuhatarisha maisha yake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…