Kin kong iliwahi kunitokea the same ila nilishtuka pale aliponiambia habari za kuwa msimamizi tena nilihofia wasije wakaniingiza kwenye mtandao wa uharamia, nikaawawashia moto hawajarudia tena.Nadhani utakua umetumiwa email na kisha kakwambia wazazi wake wameacha accounts zina hela so wanataka wewe wakuchague kama msimamizi then watakupa mpunga nusu lol
Anaitwa linda opere.ni raia wa sudan.wazazi wake waliuawa katika vita vya dafur.anaishi uhamishoni nchini senegal.vita ni noma
Anaitwa linda opere.ni raia wa sudan.wazazi wake waliuawa katika vita vya dafur.anaishi uhamishoni nchini senegal.vita ni noma
Anaitwa linda opere.ni raia wa sudan.wazazi wake waliuawa katika vita vya dafur.anaishi uhamishoni nchini senegal.vita ni noma