Kugegedwa kwa kibali maalum hata haiwaumi tena na mama na mashangazi wanamfundisha namna nzuri ya kugegedana shida pale ambapo hamna kibali
nimekosa jibu,nijibu wewe,kwa nini wazee watafurahi angali wanajua jamaa mwenye kilo 80 anaenda kulala juu yako wewe mwenye kilo 60, nilitegemea wahuzunike.
embu niweke sawa ,hili swala kweli linanitatiza
hawamuonei huruma anapokwenda kugegedwa?
. KKweli wewe unatatizo la akili silo siri,aliyekwambia tendo la ndoa ni vita au mzigo mzito nani mpaka uhitaji huruma za wazazi wewe uliokotwa au uloshishwa mbona unapingana na jambo alilolianzisha Mungu na linakubarika kwenye jamii yetu!kwani ni uwongo kwamba mtu akiolewa anaenda kugegedwa without limit kwa jinsi kijeba kitakavyo taka, sasa hawaoni kwamba mtoto wao atachoshwa?
. KKweli wewe unatatizo la akili silo siri,aliyekwambia tendo la ndoa ni vita au mzigo mzito nani mpaka uhitaji huruma za wazazi wewe uliokotwa au uloshishwa mbona unapingana na jambo alilolianzisha Mungu na linakubarika kwenye jamii yetu!
Imekuwa ni kawaida wazee kuchukia watoto wao wa kike kugegedwa, lakini siku binti anaolewa wazazi huruka ruka na kusherehekea lakini kwa uhalisia ni kwamba binti yule anaenda kuanza maisha ya kugegedwa mfululizo, na wanapotoka kwenda honeymoon wazazi na makaka hufurahi na kujitapa kwa dada yetu kaenda honeymoon hoteli fulani au mkoa fulani ambapo kiuhalisia anaenda kugegedwa usiku na mchana tena pengine anafanyiwa hard kugegedwa(ile kugegeda kama vile ni vita).
Sasa najiuliza mbona hapo wanafurahia lakin kabla ya hapo wanakuwa wakimuonea choyo na kuita tendo la kugegedwa kama tabia mbaya na kumfungia ndani?
Angali kitendo ni kilekile,hata akiwa akiolewa anaweza achika na hata akiwa home akigegedwa bado anayemgegeda anaweza kuwa akimpa matunzo?
Nilitegemea hata siku ya harusi wazazi wawe vichwa chini kuhuzunika kuwa binti yao anaenda kugegedwa with no limit, lakini nashangaa wanafurahi kuruka ruka na vigelegele.Hembu nielewesheni wadau maana hii inanitatiza.
unazungumzia suala la dhambi,angali ndoa zingine ni za jadi,zingine za mahakamani. sasa hapo vipi?kuhusu kufaidika mbona wanaweza kufaidika tu kama jamaa atakuwa anamuhudumie huyo mpenzi wake?
Yaani kwa coment hii ndio nazidi kukutoa akili...kwani ni uwongo kwamba mtu akiolewa anaenda kugegedwa without limit kwa jinsi kijeba kitakavyo taka, sasa hawaoni kwamba mtoto wao atachoshwa?