Binti anapoolewa, kwanini familia hufurahi?

Binti anapoolewa, kwanini familia hufurahi?

makolola

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
765
Reaction score
290
Imekuwa ni kawaida wazee kuchukia watoto wao wa kike kugegedwa, lakini siku binti anaolewa wazazi huruka ruka na kusherehekea lakini kwa uhalisia ni kwamba binti yule anaenda kuanza maisha ya kugegedwa mfululizo, na wanapotoka kwenda honeymoon wazazi na makaka hufurahi na kujitapa kwa dada yetu kaenda honeymoon hoteli fulani au mkoa fulani ambapo kiuhalisia anaenda kugegedwa usiku na mchana tena pengine anafanyiwa hard kugegedwa(ile kugegeda kama vile ni vita).

Sasa najiuliza mbona hapo wanafurahia lakin kabla ya hapo wanakuwa wakimuonea choyo na kuita tendo la kugegedwa kama tabia mbaya na kumfungia ndani?

Angali kitendo ni kilekile,hata akiwa akiolewa anaweza achika na hata akiwa home akigegedwa bado anayemgegeda anaweza kuwa akimpa matunzo?

Nilitegemea hata siku ya harusi wazazi wawe vichwa chini kuhuzunika kuwa binti yao anaenda kugegedwa with no limit, lakini nashangaa wanafurahi kuruka ruka na vigelegele.Hembu nielewesheni wadau maana hii inanitatiza.
 
Kugegedana bila kuoana ni dhambi ya zinaa na ni rahisi binti kukimbiwa,akiolewa hiyo imehalalishwa na ina baraka za wazee.

talaka si iko pale pale lakini?kama ni kukimbiwa atakimbiwa tu
 
kwa mwanamke anayejiandaa kuolewa asipoolewa ni nuksi halafu ndoa inatabia ya kuheshimwa ...
 
Talaka Mara chache sana pia wazazi wa pande zote wana la kusema ikitokea mtafaruku pia sheria inawatambua

sheria inasaidia nini kwa watu walioamua kuachana? au kugawana godoro na kitanda? hata wazazi hawana effect kama mmeamua kuishi pamoja au kuachana
 
Imekuwa ni kawaida wazee kuchukia watoto wao wa kike kugegedwa, lakini siku binti anaolewa wazazi huruka ruka na kusherehekea lakini kwa uhalisia ni kwamba binti yule anaenda kuanza maisha ya kugegedwa mfululizo, na wanapotoka kwenda honeymoon wazazi na makaka hufurahi na kujitapa kwa dada yetu kaenda honeymoon hoteli fulani au mkoa fulani ambapo kiuhalisia anaenda kugegedwa usiku na mchana tena pengine anafanyiwa hard kugegedwa(ile kugegeda kama vile ni vita).

Sasa najiuliza mbona hapo wanafurahia lakin kabla ya hapo wanakuwa wakimuonea choyo na kuita tendo la kugegedwa kama tabia mbaya na kumfungia ndani?

Angali kitendo ni kilekile,hata akiwa akiolewa anaweza achika na hata akiwa home akigegedwa bado anayemgegeda anaweza kuwa akimpa matunzo?

Nilitegemea hata siku ya harusi wazazi wawe vichwa chini kuhuzunika kuwa binti yao anaenda kugegedwa with no limit, lakini nashangaa wanafurahi kuruka ruka na vigelegele.Hembu nielewesheni wadau maana hii inanitatiza.

Furaha siku ya harusi ya mwanao au ndugu yako ni kufurahia kuona kuwa umemlea na kumtunza kiasi kwamba mtu mwingine akaona anafaa kuishi na watu!!

Hayo mengine waachie wanandoa!! Ndoa haiishii na kugegedana tu kuna mengi ndani yake
 
nadhani umeangalia suala zima la ndoa katika kipengele kimoja tuu , wakati falsafa ya ndoa nibpana sana. kwa ufupi
1. binti akiolewa anapata stara yaani anakuwa na mume ambae anamtimizia haja zake kihalali hili linaepusha aibu ya kutembea na wanaume mbalimbali na pia kumuepusha na magonjwa
2. mwanamke akiolewa wazazi wanafurahi kwa sababu pia anaenda kuendeleza uzao kwa halali
3. wazazi wanafurahi pia kwa sababu tunaingeza udugu na familia ya mume
4. kwa baadhi ya familia wanafurahi kupunguza majukumu ya kumlea kwa wale wenye uwezo mdogo wa kipato.
mengine utajuzwa na wengine
 
nadhani umeangalia suala zima la ndoa katika kipengele kimoja tuu , wakati falsafa ya ndoa nibpana sana. kwa ufupi
1. binti akiolewa anapata stara yaani anakuwa na mume ambae anamtimizia haja zake kihalali hili linaepusha aibu ya kutembea na wanaume mbalimbali na pia kumuepusha na magonjwa
2. mwanamke akiolewa wazazi wanafurahi kwa sababu pia anaenda kuendeleza uzao kwa halali
3. wazazi wanafurahi pia kwa sababu tunaingeza udugu na familia ya mume
4. kwa baadhi ya familia wanafurahi kupunguza majukumu ya kumlea kwa wale wenye uwezo mdogo wa kipato.
mengine utajuzwa na wengine

mbona kama yote manne anaweza kutimiziwa hata bila kuolewa, akipata mtu wa kumgegeda na kumkubali na kumuhudumia
 
kugegedwa ndani ya ndoa sio dhambi, bali kugegedwa ukiwa hujaolewa ni dhambi, wazazi wanafurahi kuwa mwanae ameepukana na hiyo dhambi...
mbali na kugegedana kupitia ndoa ya binti yao wazazi wanaweza wakafaidika na mambo mengi tu,...
pia ndoa ni jambo jema, hivyo si mbaya wakifurahi
 
kugegedwa ndani ya ndoa sio dhambi, bali kugegedwa ukiwa hujaolewa ni dhambi, wazazi wanafurahi kuwa mwanae ameepukana na hiyo dhambi...
mbali na kugegedana kupitia ndoa ya binti yao wazazi wanaweza wakafaidika na mambo mengi tu,...
pia ndoa ni jambo jema, hivyo si mbaya wakifurahi

unazungumzia suala la dhambi,angali ndoa zingine ni za jadi,zingine za mahakamani. sasa hapo vipi?kuhusu kufaidika mbona wanaweza kufaidika tu kama jamaa atakuwa anamuhudumie huyo mpenzi wake?
 
unazungumzia suala la dhambi,angali ndoa zingine ni za jadi,zingine za mahakamani. sasa hapo vipi?kuhusu kufaidika mbona wanaweza kufaidika tu kama jamaa atakuwa anamuhudumie huyo mpenzi wake?
hizo ndoa me sijui kama MUNGU anazitambua kwa hiyo siwezi kuzizungumzia......
kuhusu swala la kuhudumiwa, mwanamke ambae hajaolewa ata siku mwanaume akikataa kumuhudumia hawezi kwenda kulalamika popote, atakachofanya ni kurudi kwao tu...
lakini kama ameolewa anaweza ata kumshtaki kwa wazazi pande zote mbili au kwenda hata mahakamani.....
 
tabibumtaratibu inatakiwa wazazi wahuzunike maana binti yao anaenda kuvurugwa kitandani?

haendi kuvurugwa, anaenda kufanya tendo la ndoa na kupata watoto, baba na mama wanaitwa babu
lakini kama hajaolewa ndo anavurugwa maana mwanaume anaweza kukataa mimba, au kumkimbia mwanamke mwisho wa siku mzigo unahamia kwa wazazi..
 
Last edited by a moderator:
Imekuwa ni
kawaida wazee kuchukia watoto wao wa kike kugegedwa, lakini siku binti
anaolewa wazazi huruka ruka na kusherehekea lakini kwa uhalisia ni
kwamba binti yule anaenda kuanza maisha ya kugegedwa mfululizo, na
wanapotoka kwenda honeymoon wazazi na makaka hufurahi na kujitapa kwa
dada yetu kaenda honeymoon hoteli fulani au mkoa fulani ambapo
kiuhalisia anaenda kugegedwa usiku na mchana tena pengine anafanyiwa
hard kugegedwa(ile kugegeda kama vile ni vita).

Sasa najiuliza mbona hapo wanafurahia lakin kabla ya hapo wanakuwa
wakimuonea choyo na kuita tendo la kugegedwa kama tabia mbaya na
kumfungia ndani?

Angali kitendo ni kilekile,hata akiwa akiolewa anaweza achika na hata
akiwa home akigegedwa bado anayemgegeda anaweza kuwa akimpa matunzo?

Nilitegemea hata siku ya harusi wazazi wawe vichwa chini kuhuzunika kuwa
binti yao anaenda kugegedwa with no limit, lakini nashangaa wanafurahi
kuruka ruka na vigelegele.Hembu nielewesheni wadau maana hii
inanitatiza.

ebu nisubiri siku yangu ikifika nitaona kama watapiga vigeregere na ilee ngoma yetu: 'amata ulayatsize'
 
..wanafurahi coz wanaepukana na mabinti kudodea nyumbani..!
 
watu wanakesha kuomba wapate mtu wa kumgegeda mfululizo kwa kuhalalisha the so called Ndoa
 
hizo ndoa me sijui kama MUNGU anazitambua kwa hiyo siwezi kuzizungumzia......
kuhusu swala la kuhudumiwa, mwanamke ambae hajaolewa ata siku mwanaume akikataa kumuhudumia hawezi kwenda kulalamika popote, atakachofanya ni kurudi kwao tu...
lakini kama ameolewa anaweza ata kumshtaki kwa wazazi pande zote mbili au kwenda hata mahakamani.....

mbona wengi wameolewa lakini hawahudumiwi?na hawana pa kwenda? mbona wengine wameolewa na wanashika mimba mwanaume anaikataa?
 
Back
Top Bottom