Bingwa wa kupinga...

Weka vitu hadhalani tutazoea tu. Siyo Zeruzeru aitwe Albino (english), Kipofu-asiye ona! Kiziwi-Asiyesikia, **Mwizi-kibaka**, Mwogo-asiyesema kweli! Malaya-anayejiuza! Sema tu wazi tutasikia ukakasi lakini tutazoea kama wazungu.

Mwizi wa mdogo mdogo/mtaani ndo anaitwa kibaka lkn wale wizi wa kubwa wa serekalini wanaitwa mafisadi, haipendezi.
Anko Sam, lengo si kuzoea ukakasi wa maneno haya, ila ni kujuwa wakati/walengwa/mazingira ya kuyatumia maneno hayo. Tukisema tuyatumiye haya yaliyo na ukakasi tu, haya mengine tutayatumia wapi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…