johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,956
Nimejikuta tu nikiyaamini zaidi Maridhiano ya CHADEMA na CCM kuliko Kikosi Kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe.
Nadhani Wajumbe wa Maridhiano wanaonekana kuwa Watu makini zaidi tofauti na akina Hamad Rashid.
Lakini Hata ukumbi tu yanapofanyika Maridhiano unaonesha seriousness ya Jambo linalojadiliwa.
Nawatakia Mwaka Mpya mwema!
Nadhani Wajumbe wa Maridhiano wanaonekana kuwa Watu makini zaidi tofauti na akina Hamad Rashid.
Lakini Hata ukumbi tu yanapofanyika Maridhiano unaonesha seriousness ya Jambo linalojadiliwa.
Nawatakia Mwaka Mpya mwema!