Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
yangekuwa yanapatikana bure unadhani tungehamasishana basi
yangekuwa yanapatikana bure unadhani tungehamasishana basi
Kwani bia mnapewa bure
We gawa maziwa bure uone watu watakavyokunywa sio wewe unaehamasisha kwa maneno wakati watu wamepigika
wakati mwengine tunakuwa hatuna hela ya kununulia madhiwa.
Nalog off
vipodozi kwa ajili ya kuwarembesha my wife zetu.Mnayo ya kununulia nini?
vipodozi kwa ajili ya kuwarembesha my wife zetu.
Nalog off
sasa we ngoja mwisho wa mwezi huu nisinunue vipodozi halafu ninunue maziwa kama sijaimbwa ngomani mpaka utanionea huruma.Mmmmh sio kweli...mwatafuta sababu tu.
Binaadamu kama hajaamua kufanya jambo lake hata umwambiaje hakuelewi....hata liwe na manufaa nae..
Washawasha kanywa half glass tu mwaka mzima...kwa mwaka at least mtu unywe pipa moja la maziwa.....
Ukimpa bure atadai ana alergy na maziwa