Napigiwa simu na nO 0658 999 345.. dada mmoja anaongea kwamba anapiga kutoka Tigo... na anataka kujua Jina langu.. namjibu kulikoni ..?? anasema kuna Bima ya Afya kwa ajili yangu kutoka Tigo lakin nitaje jina langu.. namwambia kama kweli uko Tigo namba yangu nimeisajili angalia kwenye mitandao yenu mtajua jina langu... dada kang'ang'ania nitaje jina langu !! .........hii ikoje kwa wale wenye kujua majambo.... uatapeli??