excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,861 Jan 17, 2014 #41 Tuanze kwanza kufanya analysis ya mapato na matumizi! Usije ukawa bilionea kumbe ni wa pesa za mikopo tu! Sisi yunataka net income kwanza..!
Tuanze kwanza kufanya analysis ya mapato na matumizi! Usije ukawa bilionea kumbe ni wa pesa za mikopo tu! Sisi yunataka net income kwanza..!
M Mbangubangu Senior Member Joined May 6, 2013 Posts 188 Reaction score 70 Jan 17, 2014 #42 Dar mwisho wa matatizo.then Mwanza, ndio wanafuata kina Manga wa Arusha.
A ADK JF-Expert Member Joined Jan 13, 2012 Posts 2,236 Reaction score 810 Feb 22, 2014 #43 sawa lkn kuna vingi mno ambavyo ungeulizia majibu yake yangesaidia kupanua fikra za wanajukwaa