Bill Gates anywa maji ya Kinyesi

Bill Gates anywa maji ya Kinyesi

Na mara zote misaada italetwa kwa kupitia maji hayo, yaani Tukiwa na vita kwa mfano, tutaletewa chakula na maji ya aina hiyo, tena tutakenua kweli Meno kwa msaada huo. Tukihamasishwa wananchi ya kuwa yamethibitishwa na TBS, bila kujua ya kuwa hata hao TBS wanaweza kuwa Bribery na kupindisha ukweli, ikiwemo ofisi ya mkemia mkuu. TUPENDE VYA KWETU JAMANI
 
Kwani maji ya ruvu unayokunywa wewe yanatoka wapi? Mvua zikinyesha wanaofungulia chemba maji yanapeleka wapi hayo mavi?
 
Hapa Arusha tunampango wa kuyafanyia mambo yale Maji ya pale Bwawa la Mavi soon mtayanywa tu!
 
Naunga mkono sheria mpya ya mitandao kuwadhibiti mazuzu na waongo kama huyu mleta mada.
 
Naunga mkono sheria mpya ya mitandao kuwadhibiti mazuzu na waongo kama huyu mleta mada.

na ili sheria ifanya kazi vizuri na hukumu zisichelewe uwe unaweka kabisa na ushahidi kuonyesha uzuzu na uongo wa mtoa mada!!
 
aiss kumbe ndo huwaga wanakaa hivi kwenye hivyo vyoo vyenu vya kukaa!!sasa namna hii baba mkwe naye anakuja kukaa!!
attachment.php
 
Hii teknolojia si mpya mbona. Nchi zote zilizoendelea wanatumia mfumo huu wa maji safi. Wanaita recycled water. Hata hapa Africa kuna baadhi ya nchi wanatumia mfumo huu kwa miaka sasa.
Kweli kabisa nchi zilizoendelea wanatumia hii, ila nchi nyingi maji haya yanatumiwa bafuni na chooni majumbani.
 
Back
Top Bottom