Serikali inampango wa kutumia kiasi cha shillingi 42billioni kwa mwezi ili kuepuka mgao wa umeme unaotegemewa kuanza hivi karibuni...matumizi haya ni kwa muda wa miezi sita
Tofauti yake na Richmond itakuwa nini!?. Duh!, mambo yale yale, after all mbona sijasikia uwajibikaji kwa Upande wa kuhusu na kuzama kwa meli!?. Si ilianza safari Bara!!!. Kwa dhana ile ile!!. Uzembe wa waliochini chini yako.
Simpendi Zitto kwa sasa na nisingependa kusikia chochote kuhusu yeye!... Amekaa kusubiria Urais 2015 tu! Na huko CHADEMA wanataka kumpitisha wajue ndo utakuwa mwisho wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.