GE2025 Bilioni 100 inaweza kununua uchaguzi

GE2025 Bilioni 100 inaweza kununua uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
766
Reaction score
1,884
Kwa mujibu wa sheria za gharama za uchaguzi Mgombea Urais anapaswa kutumia kiasi kisichozidi bilioni 25 katika kampeni zake.

Bilioni 100 ni mara nne ya kiasi elekezi. Isitoshe wagombea wengi wa CCM ni wagombea wanaotetea nafasi zao hivyo wengi wanajimudu kikampeni so kwa kiasi kikubwa gharama za harambee zitaelekezwa kwenye kampeni za mgombea Urais. Ni gharama kubwa sana.

Hofu ya utakatishaji fedha iliyopo nayo sio ya kupuuzwa maana pia kuna noti zimechapwa mpya. Miaka ya nyuma kulishawahi kuwa skendo ya kuchapwa kwa noti za ziada ila ilisha Isha hivyo hivyo.

Bil 100 sio mchezo. Zahanati wakati fulani zilijengwa kwa mil 500. Shule kongwe zilikarabatiwa kwa mil 500. Ofisi za wizara pale Dom zilijengwa kwa mil 500 so unaweza kujenga miondombinu ya kijamii 20+ kwa fedha hiyo.

Hatari sana.
 
Kwa mujibu wa sheria za gharama za uchaguzi Mgombea Urais anapaswa kutumia kiasi kisichozidi bilioni 25 katika kampeni zake.

Bilioni 100 ni mara nne ya kiasi elekezi. Isitoshe wagombea wengi wa CCM ni wagombea wanaotetea nafasi zao hivyo wengi wanajimudu kikampeni so kwa kiasi kikubwa gharama za harambee zitaelekezwa kwenye kampeni za mgombea Urais. Ni gharama kubwa sana.

Hofu ya utakatishaji fedha iliyopo nayo sio ya kupuuzwa maana pia kuna noti zimechapwa mpya. Miaka ya nyuma kulishawahi kuwa skendo ya kuchapwa kwa noti za ziada ila ilisha Isha hivyo hivyo.

Bil 100 sio mchezo. Zahanati wakati fulani zilijengwa kwa mil 500. Shule kongwe zilikarabatiwa kwa mil 500. Ofisi za wizara pale Dom zilijengwa kwa mil 500 so unaweza kujenga miondombinu ya kijamii 20+ kwa fedha hiyo.

Hatari sana.
hakuna hatari yoyote wala dalili za kukiuka sheria za uchuguzi,

huenda hujaelewa vyema dhima na madhumuni ya harambee hiyo mahususi ya CCM gentleman 🐒
 
Inawezekana na chenji inabaki, kwa mfumo wetu kila mtu ana price tag yake.
 
Billion 100 haziendi CCM pekeyake nusu ya pesa hizo zitaenda Kwa vyama shirika na CCM kama vile ACT,CHAUMMA na wengine .

Michango ya yanga imetokea kwenye mifuko ya Mzee wa msoga, GSM na yanga hawana pesa ya kuchezea kiasi hicho , campaign yote ya CCM itadhaminiwa na Yule joka kuu la msoga
 
Kwa mujibu wa sheria za gharama za uchaguzi Mgombea Urais anapaswa kutumia kiasi kisichozidi bilioni 25 katika kampeni zake.

Bilioni 100 ni mara nne ya kiasi elekezi. Isitoshe wagombea wengi wa CCM ni wagombea wanaotetea nafasi zao hivyo wengi wanajimudu kikampeni so kwa kiasi kikubwa gharama za harambee zitaelekezwa kwenye kampeni za mgombea Urais. Ni gharama kubwa sana.

Hofu ya utakatishaji fedha iliyopo nayo sio ya kupuuzwa maana pia kuna noti zimechapwa mpya. Miaka ya nyuma kulishawahi kuwa skendo ya kuchapwa kwa noti za ziada ila ilisha Isha hivyo hivyo.

Bil 100 sio mchezo. Zahanati wakati fulani zilijengwa kwa mil 500. Shule kongwe zilikarabatiwa kwa mil 500. Ofisi za wizara pale Dom zilijengwa kwa mil 500 so unaweza kujenga miondombinu ya kijamii 20+ kwa fedha hiyo.

Hatari sana.
Gharama za uchaguzi hupangwa na CCM, tume hutangaza tu.
 
Back
Top Bottom