Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Watakuwa hawana akili nzuri wampe Shilla dogo mhuni na siasa anaanza mwaka huu wakati Kibatala miaka mingi yupo anakipigania chamaDah chadema Wana wakati mgumu maana huyu Shilla yupo vizuri na Kibatala yupo vizuri na amekipigania chama
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app